egovernmentzanzibar

egovernmentzanzibar eGA_Zanzibar

MHE. SORAGA AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO ZANZIBAR. Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (e...
28/07/2026

MHE. SORAGA AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA SERIKALI MTANDAO ZANZIBAR.

Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) leo imezindua rasmi Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka hiyo na wajumbe kusisitizwa kutekeleza na kuyafanyia kazi maono ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ya kuifanya Zanzibar ya kidijitali kwa kuiwezesha mifumo kusomana ili kukuza uchumi, kuondodha usumbufu pamoja na urasimu kwa wananchi.

Akizindua Bodi hiyo, Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Mhe. Mudrick Ramadhan Soraga ameyasema hayo leo wakati akizindua bodi hiyo na kuwataka wajumbe hao kuchukua hatua za haraka ili kufikia malengo hayo.

Nae Mwenyekiti wa bodi hiyo Ndugu Haji M. Haji alimshukuru Mhe. Waziri na kumuahidi kuwa watayatekeleza maagizo yote kwa kuyafanyia kazi kikamilifu kwa maendeleo ya Zanzibar.

Katika Hafla hiyo, mwenyekiti wa bodi hiyo amepata fursa ya kutoa hati za Ahadi na Uthibitisho wa wajumbe wa bodi hiyo.

Uongozi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), unawatakia watanzania wote heri ya Sikukuu ya SabaSaba 2026."Tue...
07/07/2026

Uongozi wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), unawatakia watanzania wote heri ya Sikukuu ya SabaSaba 2026.
"Tuendelee kutumia mifumo ya kidijitali kwa maendeleo ya Nchi yetu"

24/06/2026

Mkurugenzi Mkuu wa eGAZ, Dkt. Said Seif Said amefanya Ziara ya ukaguzi wa Zoezi la ukusanyaji wa Taarifa za Mifumo inayotumika na Taasisi mbali mbali za Serikali ili kuwezesha ubadilishanaji wa Taarifa na kuunganisha huduma za Umma kwa urahisi na ufanisi zaidi kupitia mfumo wa Zan X-Change na Zan Portal

eGAZ inawatakia Kheri ya Mwaka Mpya wa Kiislam 1448H
17/06/2026

eGAZ inawatakia Kheri ya Mwaka Mpya wa Kiislam 1448H

10/06/2026

“Teknolojia ya kidijitali ni chachu ya maendeleo.”
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), Dkt. Said Seif Said, amezungumzia umuhimu wa matumizi ya mifumo ya kidijitali katika kuboresha huduma za Serikali, kuongeza uwazi na kuharakisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika mkutano wa kikanda wa mifumo ya kidijitali unaofanyika Bwejuu, Zanzibar.
Mkutano huo umewakutanisha washiriki kutoka Tanzania, Kenya na Uganda kwa lengo la kubadilishana uzoefu na mbinu bora za kuharakisha mageuzi ya kidijitali Afrika Mashariki.

“Teknolojia ya kidijitali ni chachu ya maendeleo.”Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), Dkt. S...
10/06/2026

“Teknolojia ya kidijitali ni chachu ya maendeleo.”

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ), Dkt. Said Seif Said, amezungumzia umuhimu wa matumizi ya mifumo ya kidijitali katika kuboresha huduma za Serikali, kuongeza uwazi na kuharakisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi katika mkutano wa kikanda wa mifumo ya kidijitali unaofanyika Bwejuu, Zanzibar.

Mkutano huo umewakutanisha washiriki kutoka Tanzania, Kenya na Uganda kwa lengo la kubadilishana uzoefu na mbinu bora za kuharakisha mageuzi ya kidijitali Afrika Mashariki.

Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) imeendesha Warsha ya Serikali ya Kidigitali (Digital Government) kwa Makatib...
30/05/2026

Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) imeendesha Warsha ya Serikali ya Kidigitali (Digital Government) kwa Makatibu Wakuu na Wakuu wa Taasisi za Serikali, yenye lengo la kuimarisha matumizi ya teknolojia katika utoaji wa huduma za umma na kuongeza ufanisi wa utendaji serikalini.
Warsha hiyo imefunguliwa rasmi na Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdullah.
Katika Ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar Airport, ambapo amesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa taasisi za Serikali katika kuharakisha utekelezaji wa ajenda ya mabadiliko ya kidigitali kwa maendeleo ya Zanzibar.
Mei 30, 2026

Warsha ya Serikali ya Kidigitali (Digital Government)  kwa Makatibu wakuu na Wakuu wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi y...
28/05/2026

Warsha ya Serikali ya Kidigitali (Digital Government) kwa Makatibu wakuu na Wakuu wa Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar...

HAPPY EID AL ADHA 2026
26/05/2026

HAPPY EID AL ADHA 2026

25/05/2026

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Serikali Mtandao Zanzibar (eGAZ) Dkt. Said Seif Said, amefanya wasilisho la "Leading in the Age of AI: A Practical Guide for Chairpersons and CEOs" katika Jukwaa la "Zanzibar Chairpersons & CEOs Forum 2026" - Golden Tulip Airport Zanzibar...

Address

Mazizini
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when egovernmentzanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share