Manispaa Magharibi "A"

Manispaa Magharibi "A" Ukurasa rasmi wa Baraza la Manispaa Magharibi "A" The Official Page of West "A" Municipal Council.

Picha za Matukio ya Kongamano la keuelekea Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika Madina Hall Kian...
22/04/2026

Picha za Matukio ya Kongamano la keuelekea Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika Madina Hall Kianga Wilaya ya Magharibi 'A'

Mgeni rasmi wa kongamano hilo alikuwa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa.



Matukio ya Picha za Kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili utekelezaji wa Bajeti na Makadirio ya Mapato kwa kipindi c...
22/04/2026

Matukio ya Picha za Kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili utekelezaji wa Bajeti na Makadirio ya Mapato kwa kipindi cha Miezi Sita Mwaka wa Fedha 2025/2026, Kikao Hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Braza la Manispaa ya Magharibi 'A' Kianga.

Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanzania, uongozi wa Wilaya ya Magharibi ‘A’ kwa kushirikiana na Baraza ...
21/04/2026

Kuelekea Maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanzania, uongozi wa Wilaya ya Magharibi ‘A’ kwa kushirikiana na Baraza la Manispaa Magharibi 'A' pamoja na viongozi wa Chama na Serikali.

Walishiriki katika Ziara ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla, yenye lengo la kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa Nyumba za Wazee Welezo, Barabara ya Mwembemchomeke (Mtofaani), Skuli, Hospitali katika kambi ya KVZ Mtoni na Jengo la Wakala wa Ulinzi JKU Mtoni.

Baada ya ukaguzi huo alieleza kuridhishwa na hatua iliyofikiwa huku akisisitiza kuzingatiwa kwa viwango, ubora na kukamilika kwa miradi hiyo kwa wakati uliopangwa.

Mkuu wa Wilaya ya Magharibi 'A' Lailah Ngozi Ameongoza Kikao cha pamoja na Waheshimiwa Madiwani, Masheha na Watendaji wa...
20/04/2026

Mkuu wa Wilaya ya Magharibi 'A' Lailah Ngozi Ameongoza Kikao cha pamoja na Waheshimiwa Madiwani, Masheha na Watendaji wa Wilaya na Manispaa Magharibi 'A' katika Ukumbi wa Madina Hall Kianga.

Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar iliandaa mafunzo maalum ya kuwajengea uelewa waheshimiwa madiwani wa Baraza l...
14/04/2026

Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar iliandaa mafunzo maalum ya kuwajengea uelewa waheshimiwa madiwani wa Baraza la Manispaa Magharibi 'A' kuhusu suala zima la Majanga na Maafa.

Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa Baraza la Manispaa Magharibi 'A' Kianga.

Lengo ni kuwawezesha madiwani kuwa na ufahamu mkubwa wa kukabiliana na majanga ili kuweza kujilinda wao na Wananchi wao.


Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mh. Cassian Galos Nyimbo, ambaye awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi 'A', a...
13/04/2026

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja, Mh. Cassian Galos Nyimbo, ambaye awali aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Magharibi 'A', amemkabidhi ofisi rasmi Mkuu wa Wilaya mpya, Mh. Lailah Burhan Ngozi.

Hafla hiyo ilifanyika leo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Magharibi 'A' iliyopo Mwera, mara baada ya Mh. Lailah Burhan Ngozi kuapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya hiyo.


Salamu za Pongezi.
11/04/2026

Salamu za Pongezi.

Matukio Mbalimbali ya Picha za Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 Wilaya ya Magharibi 'A'.
10/04/2026

Matukio Mbalimbali ya Picha za Mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 Wilaya ya Magharibi 'A'.

Mwenge wa Uhuru 2026.
06/04/2026

Mwenge wa Uhuru 2026.

Address

Kianga
Zanzibar

Opening Hours

Monday 07:30 - 15:30
Tuesday 07:30 - 15:30
Wednesday 07:30 - 15:30
Thursday 07:30 - 15:30
Friday 07:30 - 15:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Manispaa Magharibi "A" posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share