22/04/2026
Picha za Matukio ya Kongamano la keuelekea Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar lililofanyika Madina Hall Kianga Wilaya ya Magharibi 'A'
Mgeni rasmi wa kongamano hilo alikuwa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa.