Mkoa kusini Unguja

Mkoa kusini Unguja President Office, Regional Administration, and Special Departments
South Region - Unguja
P.O.Box 567,
Tunguu - Zanzibar,
Tanzania.

Uongozi, Menejimenti na Watumishi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, unamtakia Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyeki...
11/01/2025

Uongozi, Menejimenti na Watumishi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, unamtakia Mhe. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Wazanzibari wote sherehe njema za Mikka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

08/12/2024
MKOA WA KUSINI UNGUJA.   4/12/2024WANAKIKUNDI KIKUNGWISerikali ya Mkoa wa Kusini Unguja imesema  haitasita  kuthamini  n...
04/12/2024

MKOA WA KUSINI UNGUJA. 4/12/2024

WANAKIKUNDI KIKUNGWI

Serikali ya Mkoa wa Kusini Unguja imesema haitasita kuthamini na kuunga mkono juhudii za wananchi wanazochukua katika masuala mbali ya mazingira ikiwemo ya uhiifadhi wa misitu yenye uoto wa asili.

Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Ayoub Mohd Mahmoud ameyaeleza hayo wakati akifanya ziara ya kutembelea eneo la uhiifadhi wa misitu aina ya mikoko la kikundi Cha ushirika Tuhurumiane Cha kikungwi mabale.

Amesema juhudi zilizofikiwa na wanakikundi hao zinahitaji kuungwa mkono na serekali na wadau wa mazingira kwani zinakwenda sambamba na azma ya serikali zote mbili katika kukuza sekta ya utalii kwa wote na kuzalishaji.

Amefahamisha serekali zote mbili nchini zimekua zikihimiza sula la uhiifadhi wa mazingira hivyo itafanya kila iwezalo kuona kwamba wanaushirika wanatimiza malengo yao kwa maslahi mapana ya jamii na Taifa kwa ujumla.

Katibu wa ushirika huo bwana Kidawa silima Hassan amesema pamoja na hatua walizofikia za uhiifadhi misitu huo lakini bado wanakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwemo Ukosefu wa elimu juu ya uhiifadhi wa misitu huo, vifaa .pamoja namtaji jambo ambalo linarudisha nyuma juhudi zao za kujiletea maendeleo.

Kikundi Cha Tuhurumiane kilichoanzishwa mwaka wanachama 18 kinajihusisha na uhiifadhi WA misitu wenye ukubwa watakriban hekta 43 ,ufugaji WA nyuki na wanalenga kulitumia eneo Hilo iwe ni kivutio moja WA Cha utalii mkoani humo.

Uongozi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja unatoa pongezi kwa Mhe. Rais wa Zanzaibar na Mwenyekiti wa Baraza la M...
03/11/2024

Uongozi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja unatoa pongezi kwa Mhe. Rais wa Zanzaibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Ali Mwinyi kwa kutimiza Miaka minne ya uongozi wako.

Kheri ya siku ya Wafanyakazi Dunia
30/04/2024

Kheri ya siku ya Wafanyakazi Dunia

Uongozi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja pamoja na Wafanyakazi wake, wnaungana na Watanzania wote kuadhimisha miak...
25/04/2024

Uongozi wa Afisi ya Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja pamoja na Wafanyakazi wake, wnaungana na Watanzania wote kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Address

Tunguu
Zanzibar

Opening Hours

Monday 07:00 - 16:00
Tuesday 07:00 - 16:00
Thursday 07:00 - 16:00
Friday 07:00 - 16:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkoa kusini Unguja posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share