Afisi ya Mwanasheria Mkuu

Afisi ya Mwanasheria Mkuu Afisi ya Mwanasheria Mkuu ni miongoni mwa ofisi za mwanzo kuanzishwa miongoni mwa ofisi za Serikali.

Ingawa imekuwa vigumu kupata tarehe mahsusi lakini kumbukumbu zinathibitisha kwamba imeanzishwa mwaka 1914.

Moja kati ya kazi zinazofanywa na Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni kutoa Elimu ya Kisheria kwa wananchi -- Picha...
03/02/2020

Moja kati ya kazi zinazofanywa na Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni kutoa Elimu ya Kisheria kwa wananchi -- Pichani ni Mwanasheria wa Serikali Ndugu Ali Ali Hassan akitoa elimu juu ya masuala ya kisheria kipindi cha wiki ya sheria

Address

Mazizini/Zanzibar
Zanzibar

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afisi ya Mwanasheria Mkuu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share