Geolinyi Mbilinyi

Geolinyi Mbilinyi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Geolinyi Mbilinyi, Landmark & historical place, Along Great North read Zambia, Nakonde.

20% Off Click To shop up Free Video
25/11/2021

20% Off Click To shop up Free Video

Click play button to Shop Free video
25/11/2021

Click play button to Shop Free video

$10 Off Click To Shop UP free video
25/11/2021

$10 Off Click To Shop UP free video

Click to watch full HQ_Video for Free▶️
23/11/2021

Click to watch full HQ_Video for Free▶️

HESHIMA YA MZAZI Heshima ya mzazi ni kufanywa kuwa muumbaji pamoja na Mungu kwa njia ya uzao na malezi bora hata kumjeng...
16/04/2017

HESHIMA YA MZAZI

Heshima ya mzazi ni kufanywa kuwa muumbaji pamoja na Mungu kwa njia ya uzao na malezi bora hata kumjengea Mungu kizazi bora.
Heshima hiyo haiko tu kwenye kuzaa watoto na kujaza nchi k**a wengi wanavyodhani. Kuzaa ni hatua moja tu ya kupata heshima ya mzazi, hatua nyingine ni kulea.
Kulea kwa Uzao au watoto wako kwafaa sana ukifanya mwenyewe na sio kuwategemea wengine wakufanyie. Watu wengi wameingia kwenye migogoro na kuathiri hatma za watoto wao kwa kuchanganya malezi na kuwataka au kuwaachilia watu wengine kuwalelea watoto wao.

Hatua nyingine ni hatua ya kuachilia Uzao wako ili wakaishi maisha yao. Hapa napo panashida kubwa, wazazi wengi hawajui namna bora ya kuwaachilia watoto wao ili wakaishi na kuendeleza kizazi chao. Watu wengi wamejikuta katika migogoro isiyo na tija katika hatua Hii.

Siku ukiwa mzazi au Ukiamua kuleta watoto duniani, ujue ni wajibu Wako wa lazima kuhakikisha wanapata mahitaji muhimu k**a vile Makazi salama, chakula cha uhakika na mavazi. Pia ni wajibu wako wa lazima kuwapa urithi wa Hali na Mali, ikiwemo elimu na vitu vingine k**a ardhi na mtandao endelevu wa mafanikio. Hivyo ni muhimu sana kufanya kazi kwa bidii na kuishi na watu vizuri. Mzazi mvivu na asiyejishughulisha kwa bidii huvuruga familia yake na huumba kizazi cha watu wategemezi.
Kadhalika mzazi mgomvi na mwenye mahusiano mabaya na watu huishi kwa shida sana na wengine na huumba uhasama na magomvi kwa familia yake na vizazi vijavyo.

Usije ukawajibika kwa Uzao wako kwa dhana ya kwamba Waje wakusaidie Baadaye au siku za uzee. Sio sahihi kabisa ni mawazo na tamaduni za kizamani na hazikubaliki Kibiblia wala katika jamii za kisasa.
K**a mtoto akibarikiwa Baadaye na akajisikia kukubariki au kushiriki baraka zake na wewe hiyo ni hiari yake na ni neema yapaswa kumshukuru Mungu kwa hilo. Lakini sio lazima, nionavyo mimi. Zaidi ya hilo ni kwamba kutoa au kusaidiana ni mbegu inayopandwa na mzazi husika kwa familia yake. K**a hukuipanda hiyo mbegu usitegemee itatokea ukubwani.

Usivumilie kuishi katika mila na desturi za kizamani zenye kutesa na kukandamiza kwa kisingizio Eti unazilinda. Watu wengi wameharibiwa maisha yao na mila potofu k**a hizi.

Mzazi mwenye hekima hamuandai mtoto wake ili amtunze Baadaye bali anaanda urithi wa Uzao wake katika vizazi vinne vijavyo. Na hiyo ndio heshima ya mzazi kwa mtazamo wangu.

Ubarikiwe!

Herini ya Sikukuu ya Pasaka......

Girls you should stop smoking weeds
12/01/2017

Girls you should stop smoking weeds

Ofa za x__mass na mwaka mpya  karibuni  Kwa mawasiliano ; 0657640159
13/12/2016

Ofa za x__mass na mwaka mpya karibuni

Kwa mawasiliano ; 0657640159

Kwa mafans wangu wote  na wasio mafans wangu nawatakia jumapili njema
20/11/2016

Kwa mafans wangu wote na wasio mafans wangu nawatakia jumapili njema

30/09/2016
New fashion for you women
05/09/2016

New fashion for you women

Have a nice day ma people
31/08/2016

Have a nice day ma people

Hello guys
30/08/2016

Hello guys

Address

Along Great North Read Zambia
Nakonde
1101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Geolinyi Mbilinyi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share